Mambo Safi Group, kikundi cha vijana wenye ushawishi mkubwa katika kuhamasisha maendeleo kwa vijana hawakuwa nyuma katika kushiriki mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2014. Hapa vijana wa MSG walikua Tabora katika kilele cha mwenge na Nyerere day 2014.
BALOZI MATINYI AAHIDI KUITANGAZA TANZANIA KIMATAIFA
-
Na Khadija Kalili
BALOZI wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi, amesema kuwa
atatumia uzoefu alioupata katika kazi yake ya uandishi wa habari ...
0 comments:
Post a Comment