Mambo Safi Group, kikundi cha vijana wenye ushawishi mkubwa katika kuhamasisha maendeleo kwa vijana hawakuwa nyuma katika kushiriki mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2014. Hapa vijana wa MSG walikua Tabora katika kilele cha mwenge na Nyerere day 2014.
SERIKALI YATAKA MAGEUZI YA HARAKA KUBORESHA HUDUMA ZA MAHUJAJI WANAOKWENDA
HIJJA
-
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Alhaj Hemed Suleiman Abdulla ametoa
maelekezo kwa Taasisi zinazohusika na uratibu wa Ibada ya Hijja kwa mwaka
2026, ...





0 comments:
Post a Comment