Mambo Safi Group, kikundi cha vijana wenye ushawishi mkubwa katika kuhamasisha maendeleo kwa vijana hawakuwa nyuma katika kushiriki mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2014. Hapa vijana wa MSG walikua Tabora katika kilele cha mwenge na Nyerere day 2014.
WANANCHI ITILIMA WAIPONGEZA SERIKALI KWA KUUNDA MFUMO WA MALIPO YA KIFUTA
JASHO /MACHOZI
-
Na Mwandishi Wetu- Itilima
Wananchi wa vijiji vya Nyantugutu, Lung'wa na Nding'ho vya Wilaya ya
Itilima Mkoani Simiyu wameipongeza Serikali kwa kuunda na k...
0 comments:
Post a Comment