TAARIFA YA KONGAMANO LILILOFANYIKA TAR 31,JAN 2013


Mambo Safi Group tarehe 31/07/2013 tulikutanisha vijana na wakina mama 400 katika jimbo na Ubungo kuongelea maendeleo katika Nyanja mbalimbali za Ujasiriamali michezo na sanaa. Mgeni rasmi alikuwa Mh. LYIMO (MNEC) Wilaya ya Kinondoni Mambo Safi Group kuanzisha mashindano ya mpira wa miguu jimbo la Ubungo vijana wa timu shiriki wa tutakutana kesho tarehe 09/02/2013 katika ukumbi wa darajani pub saa 4.00 asubuhi kupanga makakati ya ligi hiyo inayotarajiwa kuanza hivi Karibuni.

0 comments:

Post a Comment

 
Mambo Safi Group © 2014 | JM Designs