Wadau wa mpira na wananchi wakifuatilia ligi ya Mh. Dr. Fenella Mukangara (MB)

Tazama picha hizi za wadau na wananchi wakishuhudia kandanda safi uwanya wa kimara baruti "Uoja na Amani Super Cup" jimbo la ubungo.

0 comments

Je wewe mpenda mpira? na mpenda Amani?

Hii ilikuwa si "dondo" kama vijana wasemavyo bali ni kabumbu safi iliyoonyeshwa na vijana wa Jimbo la ubungo huku jumla ya timu 32 zikimenyana. Mh. Dr. FENELLA MUKANGARA (MB) Wizara ya habari, vijana, utamaduni na michezo akiwa katika ligi yake ya "Umoja na Amani Super Cup" jimbo la ubungo iliyo ratibiwa na Mambo Safi Group.

0 comments

Mambo Safi Kilele cha mwenge na Nyerere day Tabora 2014

Mambo Safi Group, kikundi cha vijana wenye ushawishi mkubwa katika kuhamasisha maendeleo kwa vijana hawakuwa nyuma katika kushiriki mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2014. Hapa vijana wa MSG walikua Tabora katika kilele cha mwenge na Nyerere day 2014.

0 comments

Ziara ya Mh. James Kajugusi.

Mh. James Kajugusi, Mkurugenzi wa idara ya vijana Wizara ya habari, vijana, utamaduni na michezo alipotembelea MAMBO SAFI GROUP.

0 comments
 
Mambo Safi Group © 2014 | JM Designs