Hii ilikuwa si "dondo" kama vijana wasemavyo bali ni kabumbu safi iliyoonyeshwa na vijana wa Jimbo la ubungo huku jumla ya timu 32 zikimenyana. Mh. Dr. FENELLA MUKANGARA (MB) Wizara ya habari, vijana, utamaduni na michezo akiwa katika ligi yake ya "Umoja na Amani Super Cup" jimbo la ubungo iliyo ratibiwa na Mambo Safi Group.
TANZANIA YASISITIZA USHIRIKIANO WA UMOJA WA AFRIKA ILI KUPUNGUZA VIFO VYA
MAMA NA MTOTO
-
Na Hassan Kimweri, WAF - Addis Ababa
Tanzania imeendelea kusisitiza ushirikiano wa Umoja wa Afrika (AU) katika
kuimarisha juhudi za kupunguza vifo vya m...





0 comments:
Post a Comment