Hii ilikuwa si "dondo" kama vijana wasemavyo bali ni kabumbu safi iliyoonyeshwa na vijana wa Jimbo la ubungo huku jumla ya timu 32 zikimenyana. Mh. Dr. FENELLA MUKANGARA (MB) Wizara ya habari, vijana, utamaduni na michezo akiwa katika ligi yake ya "Umoja na Amani Super Cup" jimbo la ubungo iliyo ratibiwa na Mambo Safi Group.
Mvutano Waibuka kati ya Mawakili wa Serikali na Mawakili wa Humphrey
Polepole
-
MVUTANO mkali umeibuka katika Mahakama Kuu Masijala ndogo Dar es Salaam
kati ya Mawakili wa Serikali na Mawakili wa Humphrey Polepole juu ya ombi
la kut...
0 comments:
Post a Comment