Hii ilikuwa si "dondo" kama vijana wasemavyo bali ni kabumbu safi iliyoonyeshwa na vijana wa Jimbo la ubungo huku jumla ya timu 32 zikimenyana. Mh. Dr. FENELLA MUKANGARA (MB) Wizara ya habari, vijana, utamaduni na michezo akiwa katika ligi yake ya "Umoja na Amani Super Cup" jimbo la ubungo iliyo ratibiwa na Mambo Safi Group.
SERIKALI YATAKA MAGEUZI YA HARAKA KUBORESHA HUDUMA ZA MAHUJAJI WANAOKWENDA
HIJJA
-
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Alhaj Hemed Suleiman Abdulla ametoa
maelekezo kwa Taasisi zinazohusika na uratibu wa Ibada ya Hijja kwa mwaka
2026, ...





0 comments:
Post a Comment