Hii ilikuwa si "dondo" kama vijana wasemavyo bali ni kabumbu safi iliyoonyeshwa na vijana wa Jimbo la ubungo huku jumla ya timu 32 zikimenyana. Mh. Dr. FENELLA MUKANGARA (MB) Wizara ya habari, vijana, utamaduni na michezo akiwa katika ligi yake ya "Umoja na Amani Super Cup" jimbo la ubungo iliyo ratibiwa na Mambo Safi Group.
WAZIRI KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA BODI YA ITHIBATI YA WAANDISHI WA HABARI
SABASABA
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu,
Mhe. Ridhiwani Kikwete alipotembelea Banda la Bodi ya Ithibati ya Waandish...
0 comments:
Post a Comment