Hii ilikuwa si "dondo" kama vijana wasemavyo bali ni kabumbu safi iliyoonyeshwa na vijana wa Jimbo la ubungo huku jumla ya timu 32 zikimenyana. Mh. Dr. FENELLA MUKANGARA (MB) Wizara ya habari, vijana, utamaduni na michezo akiwa katika ligi yake ya "Umoja na Amani Super Cup" jimbo la ubungo iliyo ratibiwa na Mambo Safi Group.
RUVUMA:JESHI LA POLISI WAMTIA MBARONI WIZI WA VIFAA NDANI YA MAGARINI HALFA
MINJA MKAZI WA SANAWALI JIJI LA ARUSHA
-
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma Kamishina msaidizi Mwandamizi
Marco Chilya,akionyesha baadhi ya kompyuta Mpakato(Laptop)zilizokamatwa na
Polisi k...
0 comments:
Post a Comment