Mh. Dr. Fenella mukangara awa mgeni rasmi katika sherehe za 2013 IYF world Camp Tanzania

Dk.Fenella MukangaraWaziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo (Tanzania) amekua mgeni rasmi katika ufunguzi wa kambi ya vijana iliyoandaliwa na IYF katika ukumbi wa Mlimani city Dar es Salaam. Ameonge mengi kuhusu vijana, kikubwa ni changamoto...

0 comments

TAARIFA YA KONGAMANO LILILOFANYIKA TAR 31,JAN 2013

Mambo Safi Group tarehe 31/07/2013 tulikutanisha vijana na wakina mama 400 katika jimbo na Ubungo kuongelea maendeleo katika Nyanja mbalimbali za Ujasiriamali michezo na sanaa. Mgeni rasmi alikuwa Mh. LYIMO (MNEC) Wilaya ya Kinondoni ...

0 comments
 
Mambo Safi Group © 2014 | JM Designs