Wadau wa mpira na wananchi wakifuatilia ligi ya Mh. Dr. Fenella Mukangara (MB)

Tazama picha hizi za wadau na wananchi wakishuhudia kandanda safi uwanya wa kimara baruti "Uoja na Amani Super Cup" jimbo la ubung...

0 comments

Je wewe mpenda mpira? na mpenda Amani?

Hii ilikuwa si "dondo" kama vijana wasemavyo bali ni kabumbu safi iliyoonyeshwa na vijana wa Jimbo la ubungo huku jumla ya timu 32 zikimenyana. Mh. Dr. FENELLA MUKANGARA (MB) Wizara ya habari, vijana, utamaduni na michezo akiwa katika ligi...

0 comments

Mambo Safi Kilele cha mwenge na Nyerere day Tabora 2014

Mambo Safi Group, kikundi cha vijana wenye ushawishi mkubwa katika kuhamasisha maendeleo kwa vijana hawakuwa nyuma katika kushiriki mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2014. Hapa vijana wa MSG walikua Tabora katika kilele cha mwenge na Nyerere...

0 comments

Ziara ya Mh. James Kajugusi.

Mh. James Kajugusi, Mkurugenzi wa idara ya vijana Wizara ya habari, vijana, utamaduni na michezo alipotembelea MAMBO SAFI GRO...

0 comments

Mambo Safi Group- Waandaaji wa "UMOJA NA AMANI SUPER CUP"

Mambo Safi Group, kundi lenye maskani yake Kimara-Baruti jijini Dar Es Salaam,liliandaa ligi ya mpira wa miguu iliyojulikana kwa jina la UMOJA NA AMANI SUPER CUP. ligi hiyo ilifadhiliwa ma Wazari wa Vijana, habari utamaduni na michecho Mh....

0 comments

Athari za madawa ya kulevya kwa vijana.

ATHARI ZA  MADAWA YA KULEVYA KWA VIJANA:  Jamii hususani vijana wanashauriwa kuachana na matumizi ya madawa ya kulevya mbayo yamekuwa yakiathiri nguvu kazi ya Taifa na kuwafanya vijana wengi kuishi katika hali hatalishi na kuendelea...

0 comments

Matokeo ya Ualimu ngazi ya cheti 2013 haya hapa!

Baraza la taifa la mitihani latangaza rasmi matokeo ya ualimu 2013, bofya link zifuatazo kuyaona matokeo hayo:- GATCE 2013 GATSCCE 2013 DSEE 2013 DTE 2013...

0 comments

Mh. Dr. Fenella mukangara awa mgeni rasmi katika sherehe za 2013 IYF world Camp Tanzania

Dk.Fenella MukangaraWaziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo (Tanzania) amekua mgeni rasmi katika ufunguzi wa kambi ya vijana iliyoandaliwa na IYF katika ukumbi wa Mlimani city Dar es Salaam. Ameonge mengi kuhusu vijana, kikubwa ni changamoto...

0 comments

TAARIFA YA KONGAMANO LILILOFANYIKA TAR 31,JAN 2013

Mambo Safi Group tarehe 31/07/2013 tulikutanisha vijana na wakina mama 400 katika jimbo na Ubungo kuongelea maendeleo katika Nyanja mbalimbali za Ujasiriamali michezo na sanaa. Mgeni rasmi alikuwa Mh. LYIMO (MNEC) Wilaya ya Kinondoni ...

0 comments

MH. KOKA KUTEMBELEA MAMBO SAFI GROUP

“MAMBO SAFI GROUP” tarehe 06/01/2013 tutatembelewa na Mh. Koka mbunge wa jimbo la kibaha mjini atakaeambatana na mama Serina Koka na viongozi wengine wapatao watano kimara Baruti Dar Es Salaam. “MAMBO SAFI GROUP” tupo katika maandalizi...

0 comments
 
Mambo Safi Group © 2014 | JM Designs