Hii ilikuwa si "dondo" kama vijana wasemavyo bali ni kabumbu safi iliyoonyeshwa na vijana wa Jimbo la ubungo huku jumla ya timu 32 zikimenyana. Mh. Dr. FENELLA MUKANGARA (MB) Wizara ya habari, vijana, utamaduni na michezo akiwa katika ligi yake ya "Umoja na Amani Super Cup" jimbo la ubungo iliyo ratibiwa na Mambo Safi Group.
MBUNGE ABOOD AKABIDHI MADAWATI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA TSH, MIL. 28
KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA MAZIMBU MKOANI MOROGORO.
-
Madawati yenye thamani ya zaidi ya Tsh. Mil. 28 yamekabidhiwa katika Shule
ya Sekondari ya Mazimbu Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro Mjini kama
sehemu ya...
0 comments:
Post a Comment